Pastor Ajiua, alisema Mungu Hamskii Tena


Mchungaji Teddy Parker kutoka Georgia Marekani amejiua siku chache baada ya kuhubiri kanisani kwake kwamba Mungu hamsikii tena na wala ahisi muungane wake na Mungu tena.

" Najaribu kuomba, lakini nahisi Mungu anisikilizi tena, najitahidi kuhudumia lakini nahisi Mungu ahitaji kunitumia  tena, zipo zama katika maisha ya binadamu ambazo Mungu kwa makusudi maalum hukuondoa, hakutoi ili ubaki peke yako ila hukufanya ukue na kujitambua zaidi" Alisema Teddy.

Parker, baba wa watoto wawili alijiua Jumapili iliyopita kwa kujipiga risasi kichwani na bastola yake baada ya kumaliza misa ya kwanza, watu walikuwa wakimngojea arudi kwa ajili ya misa ya pili na hakutokea, haikuwa kawaida na ndipo walipoenda kumuangalia walikuta ameshafariki.


Join Swahili One Community, "Like" and you will be one of us forever

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
Copyright © 2013. swahili one Blog - All Rights Reserved
Customized by: Grace Tommy The One | Powered by: BS
Designed by: Creative Blogger