Angalia Jinsi Bongo Movie Wanavyopondwa na Kutathminiwa hapa
UTAJUAJE NI BONGO MOVIE?
1.Jini akifika barabarani
anaangalia
pande zote ndo avuke barabara.
2. Matajiri majumba yao yana askari
badala ya electric
fence &
gates.
3.Trailer inachukua
dakika 40.
4.Part2 ya movie ukiiona
mwanzo unajua part1
ilikuwaje.
5.Madem wanaamka wanamake ups
usoni na hereni kabisa.
6.Wakifika hotelini imezoeleka ni juice
inaagizwa au wine
isiyofunguliwa.
7.Nusu saa mtu anatembea,anafanya
mazoezi,anakimbizwa au ananunua vitu.
8.Wimbo wa malavidavi
unaimba
mpaka unaisha.
9.Mtu yupo
village,life gumu ana wave kichwani.
10.Wote wanaouwawa kwa risasi
hupigwa kifuani au
tumboni sio kichwani.
11.Jambazi
lazima awe anavaa miwani nyeusi,koti
kubwa na mvuta sigara mwenye sauti
nene na sura ya kutisha
12Tajiri anakuja kumpenda maskini.
13. Jina La Movie La Kingereza, Ndani
Mazungumzo Ni Kwa Kiswahili.
14.Editor Roy Kijusi, Camera man
Inosenti Kijusi, graphic designer Roy
Kijusi, Location manager Happy Kijusi,
Mavazi Suzy Kijusi.
15.Movie inapart1 na part2,lakn
ukiangalia unagundua ni disc.1 na disc.2
16.movie inaitwa life is harder (mfano)
afu kwenye kava watu wameweka
mapozi ya mamodo na warembo."
Hii nimeikuta face book, huku ikipata Comment zaidi ya 30, Likes ndo Usiseme, Vipi ndugu Msomaji wangu, unalionaje hili?
Posted by
Unknown

Related Articles
- YALIYOJIRI KWENYE HARUSI YA MSANII WA BONGO MOVIE LEO HII TAZAMA PICHA HAPA:
- Wema Sepetu Hatiani, Heunda akaenda Jela Safari Hii.
- Mzee Magari wa Bongo Movie apiga Hodi Bongo Flavor, Atoa Single ya Kwanza!!!
- Baby Madaha Kuzichapa na Jackline Wolper.
- Angalia Mh. Sumaye Akiselebuka Katika Send Off ya Natasha
- Polisi wafunga Mtaa ili Kumkamata Wema Sepetu!!!
- Uwoya yamkuta, Aambulia Matusi ya Nguoni Baada ya Kumfananisha Diamond na Michael Jackson
- Msanii JB Ala shavu
- UDAKU Katika Magazeti