Angalia Orodha ya Mtajiri 50 wa Africa, Tanzania yatoa Wanne.


Ama kweli matajiri wa Africa wanazidi kuongeza, kwa kipindi cha miaka 10 tangu kufanyika kwa tathmini ya mwisho na Forbes mwaka 2003, sasa Africa ina Mabilionea 30 kw kiwango cha Dola Bilioni za Kimarekani. Katika Orodha hiyo ya Mwaka huu, Tanzania Imeweka Mabilionea Wanne huku nafasi nyingi zikichukuliwa na Nigeria na Kanda za Uarabuni.

Angalia Orodha zaidi.




Join Swahili One Community, "Like" and you will be one of us forever

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
Copyright © 2013. swahili one Blog - All Rights Reserved
Customized by: Grace Tommy The One | Powered by: BS
Designed by: Creative Blogger