Motorola waja na Toleo jipya, bei kuanzia laki 2 na nusu za kiTz
kampuni ya Motorola imeleta hii simu yao mpya inaitwa Moto G ambayo mauzo yake ni kuanzia dola 179 huku moja ya sifa zake ikiwa ni ndogo lakini yenye vitu vingi pamoja na chaji kukaa kwa muda mrefu.
Pamoja na kwamba simu hii imeanza kuuzwa kwenye nchi mbalimbali duniani, $179 for the 8GB model or $199 for 16GB of storage… kwa wenzangu wa Marekani itabidi wasubiri mpaka January 2014.
4.5-inch display, rather than the 4.7 inches of the Moto X.
Posted by
Unknown

Labels:
Habari za Kimataifa
Related Articles
- Tanzania Ndani ya siku 3 za Maombolezo ya kifo cha Mandela
- Kiusalama Rais Obama hatakiwei kutumia simu ya aina ya iPhone
- FIFA Yazindua Aina Mpira Utakaotumika Kwenye Kombe la Dunia 2014 Uitwao ‘Brazuca’
- Maadhimisho ya Mwezi wa Thamani ya mwanamke, njemba zala skuna hadharani
- UN: KUTUMIA NDEGE ZISIZO NA RUBANI DRC
- Tyrese amwaga Machozi katika eneo alilopata ajali Marehemu Paul Walker
- Kutana na Mtoto wa Miujiza Aliyezaliwa Tarehe 11.12.13 Mida ya Saa 14:15
- MCHAGA AICHOMA NYUMBA YAKE MOTO BAADA YA KUBAINI MKEWE ANAISALITI NDOA YAO HUKU SEGEREA DAR.
- RAIS KIKWETE ATOA HOTOBA KATIKA MAZISHI YA MANDELA HUKO QUNU AFRICA YA KUSINI