Picha 10 za Shule anayoijenga Happiness Magese Huko Mtwara.




Miss Tanzania 2001 Millen Magese na hivi sasa ni mwanamitindo wa kimataifa amejitolea kwa jamii ya kitanzania huko Mtwara “Mji Mwema” kwa kujenga shule,kununua madawati, kujenga kisima cha maji na mambo mengine kutoka kwake mwenyewe.
Wanafunzi wa shule hiyo walikuwa wanasoma kwenye shule iliyojengwa kwa udongo na kukaa kwenye mawe lakini hivi sasa kutokana na kazi nzuri ya Millen wanasoma kwenye jengo zuri pamoja na kukaa kwenye madawati. Hizi ni baadhi ya picha kutoka kwa Millen zikionyesha maendeleo ya shule hiyo
m
e3
3
4
ww
e
r
a

Join Swahili One Community, "Like" and you will be one of us forever

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
Copyright © 2013. swahili one Blog - All Rights Reserved
Customized by: Grace Tommy The One | Powered by: BS
Designed by: Creative Blogger