Za mwizi, 40.!!! Kibaka achezea kipigo huko Kawe, ni baada ya kuruka geti.
Mtuhumiwa wa wizi akiomba kusamehewa wakati mtu mwenye hasira kali akijiandaa kumtupia tofali kichwani ambalo lilimjeruhi vibaya mtuhumiwa huyo.
MTU mmoja aliyetuhumiwa kuwa ni mwizi amenusurika kufa baada ya kundi la wananchi kumpa kipigo cha maana, leo mchana katika eneo la Mbezi-Darajani, Kawe mjini Dar es Salaam. Mtu huyo ambaye jina lake halikuweza kupatikana mara moja inadaiwa alikutwa akiruka geti kuingia ndani kwenye nyumba ya mkazi moja wa eneo hilo. Picha zifuatazo ni baadhi ya matukio wakati mtuhumiwa huyo alipokuwa akipata kichapo hicho. (Picha zote na Bashir Nkoromo)
Source:GPL
Posted by
Unknown

Related Articles
- Bibi harusi afariki dunia saa moja kabla ya kufunga ndoa kanisani Tanga
- Polisi wafunga Mtaa ili Kumkamata Wema Sepetu!!!
- Kim aapa kutobeba ujauzito tena
- Staa wa Nollywood atoa trela ya video yake mpya ya Ngono
- Nick Minaj Akaa Uchi katika front page la jarida la KING
- Ronaldo amsaliti Mpenzi wake sababu ya Miss Bum Bum 2013
- Baba achoma moto mwanae sehemu za siri na mwilini kisha kutokomea kusikojulikana.
- Mchezaji wa Ligi Kuu ampiga Refa Ngumi na Kumtoa damu Puani
- Beckham atolewa nje kwa kadi nyekundu baada ya kucheza rafu mbaya