Mashabiki wauponda muonekano mpya wa Ray
Muonekano huu unaenda kuuona wa muigizaji na director wa bongomovie “Vicent Kigosi”unahusisha kubadilisha rangi ya nywere zake, tatoo kubwa kwenye mikono yote miwili na mavazi kama msanii wa bongoflava.
Yeye mwenyewe kwenye picha moja wapo aliandika caption ya “Je nageukia bongoflava au kuna nini kinakuja?”. Jinsi inavyoonekana ni moja ya maandalizi ya movie mpya kutoka RJ Company.

Posted by
Unknown

Labels:
Udaku wa Tanzania
Wasanii
Related Articles
- KULIKONI KUWE NA TAREHE YA MWISHO ILE HALI KILA KUKICHA WATU WANATIMIZA MIAKA 18?
- FAMILIA YA RAIS MSTAAFU, ALLY HASSAN MWINYI YAZUA BALAA KUTOKANA NA UGOMVI WA NYUMBA YA URITHI
- CHAPA NYINGINE" YA KWAKE CHEGGE HII HAPA
- ANGALIA MWANADADA IRINE ESPERIOUS AKIJIACHIA KIUTUPU HAPA
- Remix ya Number One ya Diamond Yamkutanisha na Director wa Alingo ya P Squire
- Juliet Ibrahim ndo Mwanamke Mzuri zaidi Africa Magharibi.
- Nollywood wazidi kutoa picha za Map3nz! Hadharani, Jionee hapa
- Kiingereza cha Shilole chazua Gumzo Mtandaoni.
- Wastara Awaomba Watanzania wamuache aishi, na yeye ni Binadamu Pia