Remix ya Number One ya Diamond Yamkutanisha na Director wa Alingo ya P Squire
Diamond anaweza kuwa msanii wa kwanza kutoka Tanzania kufanya video na director mkubwa wa Nigeria Clarence Peter ambaye ameshafanya video nyingi za wasanii wakubwa nchini Nigeria na Africa kwa ujumla.
Diamond ame-post picha moja ya behind the scene wakiwa wanatengeneza hiyo video na aliandika hii caption , “Naamini ipo siku nasi Tanzania tutasimama vyema katika ramani hii ya muziki worldwide na kuipa sifa na heshima zaidi East Africa yetu. Eeeh Mwenyezi Mungu ibariki Tanzani, ibariki East Africa na Africa yetu kwa ujumla. #LastNight #Onset #NumberOneRemix#DiamondFtDavido #ClarencePeterBehindTheCamera”
Posted by
Unknown

Labels:
Udaku wa Tanzania
Wasanii
Related Articles
- Nay wa Mitego ana Historia ya Kumpiga Baba yake Mzazi
- Bahati Bukuku Ampoteza Baba yake Mzazi.
- Diamond Ahudhuria Mazishi ya Mzee Sepetu, Awapa Makavu waliomkusudia Mabaya.
- Baadhi ya picha za FIESTA jana pale Leaders Club
- Sakata la Kuvaa Mlegezo (Kata K), BASATA wamvaa Ney wa Mitego.
- Bangi, Pombe na Utovu wa Nidhamu vyamponza Dogo Janja
- "Danny Mtoto wa Mama" anusurika kufanyiwa kitu mbaya baada ya kulewa pombe
- Diamond alivyowapagawisha mashabiki nchini China
- Cheki Lulu alivyopozi na Bibi yake, wamefana au?