Raia Wawili wa Uingereza Wamwagiwa Tindikali Zanzibar.
![]() |
Majeruhi wa Tindikali, Si wa Habari Hii |
Raia wa kigeni kutoka katika nchi ya Uingereza ambao wanafanya kazi ya kujitolea katika upande wa Ualim wamemwagiwa tindi kali mjini Zanzibar jana mida ya saa moja usiku katika mitaa ya shangani mji mkongwe Zanzibar habari kutoka katika chanzo chetu cha habari kinasema jeshi la polisi zanzibar limeanza msako na kuwatafuta watu waliofanya kitendo hicho.
walimu hao ambao wamefika mjini Zanzibar kwa kujitolea kufundisha walitambulika kwa majina ya Kate Gee miaka 18 na kirsiwer Trup pia miaka 18 walimu hao wa kujitolea wanatoka katika nchi ya Uingereza (UK) raia hao wameingia kisiwani hapo takribani wiki mbili tu na kukutwa na majanga hayo ambao walikuwa wanafanya kazi katika shule moja ya msingi inayojulikana kama Mtakatifu Monika iliyopo chini ya kanisa la Aglicana. habari tulizozipata hivi punde Raia hao hivi sasa wamehamishiwa katika Hospitali ya Aghakani jijini Dar es salaam kwa matibabu zaid tutazidi kuwaleta habari zaidi
From: Swahilitz
walimu hao ambao wamefika mjini Zanzibar kwa kujitolea kufundisha walitambulika kwa majina ya Kate Gee miaka 18 na kirsiwer Trup pia miaka 18 walimu hao wa kujitolea wanatoka katika nchi ya Uingereza (UK) raia hao wameingia kisiwani hapo takribani wiki mbili tu na kukutwa na majanga hayo ambao walikuwa wanafanya kazi katika shule moja ya msingi inayojulikana kama Mtakatifu Monika iliyopo chini ya kanisa la Aglicana. habari tulizozipata hivi punde Raia hao hivi sasa wamehamishiwa katika Hospitali ya Aghakani jijini Dar es salaam kwa matibabu zaid tutazidi kuwaleta habari zaidi
From: Swahilitz
Posted by
Unknown

Labels:
Habari za Kimataifa
Habari za Kitaifa
Related Articles
- BINTI WA MIAKA 17 ANASWA AKIJIUZA KATIKA GESTI BUBU
- MAMA SHARO MILIONEA AMTOA MACHOZI ICH MAVOKO
- MZEE WA KANISA ALIFUNGA KANISA! HUKO MBEYA
- KIFO CHA KIGOGO WA CCM MWANZA, MAZITO YAIBULIWA
- RAGE ALIA NA WALIOMUUZA OKWI YANGA
- MKURYA HUYU AISHI NDANI YA HANDAKI KWA ZAIDI YA MIAKA MINNE HAPA DAR
- BILIONEA AKUTWA AMEFARIKI NDANI YA GARI DAR, ASEMEKANA KAJIUA MWENYEWE
- BIFU LA HEMED NA YUSUPH MLELA LAZIDI KUPAA
- PICHA ZA MATUKIO KATIKA UZINDUZI WA AZAM TV