Diamond Ala Shavu la Kutangaza Coca cola, Angalia Picha za Uandaaji wa Tangazo Hilo.
Hizo ni Baadhi ya Picha Ambazo Msanii Diamond Platnumz Aliziweka katika Instsgram yako akionesha jinsi hali ilivyokuwa katika utengenezaji wa Tangazo la Soda ya Cocacola Huko South Africa.
Diamond Alikuwa Miongoni mwa Abiria waliokwama jana kutokana na ajali ya moto katika uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta, na aliendelea na Safari baada ya kukodiwa Ndege Binafsi na Coca Cola.
Posted by
Unknown

Related Articles
- Juliet Ibrahim ndo Mwanamke Mzuri zaidi Africa Magharibi.
- Nollywood wazidi kutoa picha za Map3nz! Hadharani, Jionee hapa
- Kiingereza cha Shilole chazua Gumzo Mtandaoni.
- Wastara Awaomba Watanzania wamuache aishi, na yeye ni Binadamu Pia
- Nay wa Mitego ana Historia ya Kumpiga Baba yake Mzazi
- Bahati Bukuku Ampoteza Baba yake Mzazi.
- Diamond Ahudhuria Mazishi ya Mzee Sepetu, Awapa Makavu waliomkusudia Mabaya.
- "Danny Mtoto wa Mama" anusurika kufanyiwa kitu mbaya baada ya kulewa pombe
- Cheki Lulu alivyopozi na Bibi yake, wamefana au?