Angalia Picha katika Party ya Meneja wa Ommy Dimpoz ambapo ameahidiwa Kiwanja na Dimpoz
November 13 2013 Osterbay Dar es salaam ilifanyika party ya birthday ya Mubenga ambae ni meneja wa mwimbaji Ommy Dimpoz ambae baada ya kukata keki, Ommy ambae ni msanii wa pili Tanzania kulipwa pesa nyingi kwenye show (Milioni 8) kati ya wote waliowahi kutangaza bei zao, alichukua mic na kutangaza kuhusu zawadi ya kiwanja alichokinunua kwa ajili ya Mubenga.
Miongoni mwa mastaa waliohudhuria hii party ni pamoja na B12 na Dj Zero wa XXL 88.5 Dar es salaam, Vanessa Mdee wa 102.5 Choice FM, Salama Jabir wa Mkasi ya EATV, Ay, Lamar, waigizaji Jackline Wolper na Kajala kama picha zinavyoonyesha hapa chini.
Posted by
Unknown

Related Articles
- Angaalia Video ya sehemu ya Movie Mpya ya Dkt Cheni Ft Mchina
- YOUNG DEE AKAUNUSHA KUHUSU SKENDO YA KUFUMANIWA NA LULU WAKILA RAHA ZA UKUBWANI NDANI YA GARI
- HEMED 'PHD' ALA SHAVU LA KUIGIZA FILAMU ZAMBIA.
- MACHANGU NA WATEJA WAO WAKAMATWA NA OFM YA MWISHO MWAKA, BALAA.
- BAADA YA KUKAA KAMA WACHUMBA KWA MIAKA 15, MAMA TUNDA ATEMANA NA AFANDE SELE.
- CHUCHU HANS AJICHORA TATOO YA RAY, NI KUONESHA JINSI GANI MAHABA YAO YAPO JUU
- WEMA AWATIBUA FANS WAKE NA VIVAZI VYAKE VYA UTATA
- ANAETAKA KUMWOA LULU KUTOA MAHARI YA TSH LAKI 8
- Lina asaka Mimba