PICHA ZA MATUKIO KATIKA MKUTANO WA CHADEMA ULIOVUNJIKA HUKO KASULU
Umati wa wananchi waliokusanyika kumsikiliza Dk. Slaa leo mjini Kasulu Uwanja wa Kiganamo kabla ya mkutano kuvunjika.…
Mkutano wa Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk Willbroad Slaa uliofanyika Uwanja wa Kiganamo, Kasulu Mjini leo umevunjika baada ya polisi kupiga mabomu ya machozi wakikabiliana na vijana waliorusha mawe kupinga mkutano usiendelee. Kwa mujibu wa shuhuda wa tukio hilo, vijana hao wanadaiwa kuwa kati ya 10-15 ambao walirusha mawe baada ya wananchi kuwafukuza wakitaka kuwapiga wakipinga kitendo chao cha kupiga kelele ili mkutano usiendelee ndipo polisi walianza kulipua mabomu ya machozi na mkutano kuvunjika.
Posted by
Unknown

Labels:
Habari za Kitaifa
Related Articles
- PICHA ZA MATUKIO KATIKA UZINDUZI WA AZAM TV
- MWALIMU MKUU AFARIKI KIFO CHA UTATA, USHIRIKINA WATAWALA.
- UGOMVI WA KIMAPNZ WASABABISHA MUME KUUA MTOTO WA KAMBO HUKO IRINGA
- AJALI YAKISIWA KUUA KTK DARAJA LA KAWE DAR LEO
- ABAKWA, ANYONGWA HADI KUFA NA KISHA KUINGIZWA CHUPA SEHEMU ZA SIRI HUKO CHALINZE
- JK AELEZEA JINSI ILIVYOKUWA NGUMU KUMWONA MANDELA
- ZITTO AVULIWA CHEO CHA USEMAJI WA KAMBI YA UPINZANI BUNGENI
- ZITTO AWAWASHIA MOTO CHADEMA
- ATOBOLEWA MACHO BAADA YA KUJIHUSISHA KIMAPENZ NA MWANAMKE WA ASKARI POLISI