"Ntayaanika aliyonifanyia kitandani" Kay Figo

Msanii Kyaula Kafula wa nchini Zambia almaarufu kama Kay Figo ametishia kuyaweka hadharani aliyokuwa akifanyiwa na Sugar Dady wake kutokana na wawili hao kutengana ghafla na njemba hiyo kushinda kesi ya madai iliyofunguliwa na mwanadada huyo! Watu wamekuwa wakisubiria kwa hamu kuyajua madudu ya njemba hiyo endapo atakomaa na kutomlipa Kay fedha anazohitaji hata kimya kimya!

Join Swahili One Community, "Like" and you will be one of us forever

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
Copyright © 2013. swahili one Blog - All Rights Reserved
Customized by: Grace Tommy The One | Powered by: BS
Designed by: Creative Blogger