Hii Tamaduni "Nooumah"




Imezoeleka zaidi nchini Ukraine ingawa maeneo machache pia ya ulaya hufanya hivi, kila siku ya pili baada ya Pasaka, vijana wengi wa kiume huzaa mtaana na madumu yao ya maji, huko wakimkuta mdada yupo wazi na nywele zake zinaonekana basi humvamia na kuanza kumwagia maji, hasa kichwani, kama wanambatiza vile.

Join Swahili One Community, "Like" and you will be one of us forever

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
Copyright © 2013. swahili one Blog - All Rights Reserved
Customized by: Grace Tommy The One | Powered by: BS
Designed by: Creative Blogger