Ndo "Uzungu" Au?!!!!

Mimi naona kama ulimbukeni hivi, na hasa ukizingatia mazingira ambayo tukio husika linafanyika! Kisa na Mkasa cha Kubusina hivyo mbele za watu ndo nini.Hizi njaa za Ngono zitatupeleka Pabaya! Ona sasa Picha zenu zimezagaa katika mitandao kibao, si kujichoresha huku? mambo ya chumbani yaacheni yabaki chumbani, Pumb@#&*!

Join Swahili One Community, "Like" and you will be one of us forever

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
Copyright © 2013. swahili one Blog - All Rights Reserved
Customized by: Grace Tommy The One | Powered by: BS
Designed by: Creative Blogger