Umewahi kumwona mwanamke kama huyu?

Kweli Nchini Ukraine hapaishi vioja, mwanadada mmoja amwewashangaza watazamaji wengi kwa kitendo chake cha kuweza kupiga makofi kwa kutumia "miguu". Mbali na hayo mrembo huyo ameweza kuwa akijigeuza geuza na kuweka mapozi tofauti tofuti kwa kujikunja kama hana mifupa vile!!

Join Swahili One Community, "Like" and you will be one of us forever

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
Copyright © 2013. swahili one Blog - All Rights Reserved
Customized by: Grace Tommy The One | Powered by: BS
Designed by: Creative Blogger