Atakiwa kukusanya Face Book Like 10,000 ali asamehewe na Mkewe Baada ya Kumsaliti



Sonya Gore aliyetengana na Mumuwe baada ya miezi 10 ya ndoa yao mnamo December 2010  kutokana na Tabia endelevu ya mumewe huyo kuisaliti ndoa yao ameamua kumpa Mtiani mwanaume wake ili aweze kumsamehe na kuendelea kuishi wote katika maisha ya ndoa.

"Ikiwa ananipenda basi ananipenda na hana jinsi ispokuwa kutekeleza masharti yangu" alisema Sonya. Katika kulifanya hilo, mume huyo aliamriwa achukue karatasi na andike kwa mkono wake kukiri kosa lake kisha kujipiga picha nalo huku akibembeleza apewe hizo likes 10,000.

Mpaka sasa Tangazo hilo la Ivan Lewis(Mumewe) limepata likes 6,500 tu hivyo bado kuna safari ndefu kidogo.

Wife agrees to take cheating husband back if he gets 10,000 likes on Facebook (PHOTOS)


Join Swahili One Community, "Like" and you will be one of us forever

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
Copyright © 2013. swahili one Blog - All Rights Reserved
Customized by: Grace Tommy The One | Powered by: BS
Designed by: Creative Blogger