Hawa Vipi?

--> Bora Usiku Usiingie! Maana kila balaa wabongo hulivutia subira ifike usiku ndo wafanye tukio lao! Majambazi, wezi, wachawi, wapenda ngono na kila lenye asili ya Upuuzi! Angalia hao njemba sijui walitongozana wakaelewana au mzuka tu umewapanda wakaamua kutengeneza mazingira ya kufanya yao?

Join Swahili One Community, "Like" and you will be one of us forever

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
Copyright © 2013. swahili one Blog - All Rights Reserved
Customized by: Grace Tommy The One | Powered by: BS
Designed by: Creative Blogger