Nimekolea na P3nz! la Demu wa Rafiki yangu


Nimekolea kwa Aliyekuwa Demu wa Rafiki Yangu. Je Nifanyeje?

Nimejikuta nipo kwenye mapenzi na aliyekuwa demu wa rafiki yangu. Rafiki yangu na huyu demu walikuwa kwenye mahusiano katika kipindi cha mwaka mmoja ila wakaja achana.

Kwa sasa huyu rafiki yangu ana demu mwengine na haonekani kuwa na nia ya kutaka kumrudia huyu aliyekuwa wake hapo awali ambaye kwa sasa nimejikuta nikikolea kwake.

Japokuwa ni mkubwa kwangu kwa zaidi ya miezi sita ila ukweli ni kwamba nampenda.

Naomba ushauri nini nifanye....?

Join Swahili One Community, "Like" and you will be one of us forever

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
Copyright © 2013. swahili one Blog - All Rights Reserved
Customized by: Grace Tommy The One | Powered by: BS
Designed by: Creative Blogger