Showing posts with label Muziki. Show all posts

CHAPA NYINGINE" YA KWAKE CHEGGE HII HAPA


Hii ni ngoma mpya ya Chegge toka TMK, amemshirikisha mwanadada aitwaye Gift na Production ni ya Dunga.

Isikilize na Ishushe hapa....
 

Read More »

Vanessa Mdee alianzia Huku kabla ya Kuingia Bongo Flava


Moja kati ya vitu ambavyo binafsi sikuwa nafahamu ni kwamba Vanessa Mdee alianza kuimba muziki toka akiwa mtoto na kwamba alishawahi kuimba hadi kwenye kwaya za Kanisani kwa muda mrefu.

Alizungumza hayo alipokuwa kwenye mahojiano na kipindi cha The Takeover (TKO) cha TBC fm mnamo siku ya Alhamisi 28 Novemba, sambamba na mambo mengine mwanzoni alianza kuelezea ujio wake mpya wa Come Over kuanzia idea mpaka wimbo unakamilika.

Sikiliza mahojiano hayo hapo chini...


Read More »

Angalia Hapa Video ya Single kali KUCHI KUCHI Toka kwa Jodie



Read More »

Ray C na Rachel wafanana Sauti hadi Sura, Angalia Hapa



Mara ya kwanza tu Recho alipoanza kusikika, sauti yake ilianza kufananishwa na ya Ray C. Kuanzia kwenye Kizunguzungu, Upepo na Nashukuru Umerudi, Recho alikuwa Ray C mtupu.

Hata hivyo hiyo haikumsumbua, Ray C ambaye alisema kuwa ni faraja kumsikia Recho akiimba kama yeye na tangu hapo wamekuwa marafiki.

Lakini wawili hawa, hawafanani sauti tu. Picha hii (hapo juu) iliwekwa na Ray C kwenye Instagram na wengi walidai kuwa, warembo hao wanafanana kama mapacha vile.

Read More »

Msanii Ciara Avishwa Pete ya Uchumba



Msanii Future aliyeibuka mwaka jana na single iliyofanya vizuri kwenye radio 'Same dem Time' amemvalisha pete ya uchumba mpenzi wake star wa Rnb Ciara weekend hii.
Fahamu kuwa wasanii hawa wawili wamekuwa na mahusiano ya kimapenzi kwa zaidi ya miezi 10 sasa na Taarifa hizi alivujisha Ciara Kupitia twitter kwa kuandika Hivi."Today Has 2 Be Like One Of The Sweetest Days Of My Life!  ��������" .

Ciara amevalishwa pete ya Diamond yenye Carat 12 weekend hii.

Kwa sasa Future yupo kwenye tour ya Drake "Would You Like a Tour" ata baada ya kupishana na rapper huyo walielewana baada ya muda mfupi na kuendelea kupiga kazi.


Kengete.

Read More »

Diamond alivyowapagawisha mashabiki nchini China



Wakati ile movie ya Temptation  iliozua Gumzo Jijini iliyowakutanisha tena Msanii wa muziki Diamond na Mcheza Filamu Wa Tanzania Wema Sepetu ambao waliwahi kuwa wapenzi ikisubiriwa kwa hamu na mashabiki wa Diamond Na Wema Week End Hii diamond Amekua na Show Ya kukata na shoka huko Guangzhouhuku baadhi ya washabiki wakijiuliza mbona hawamuoni Maddam
Mkumbuke kuwa Maddam Na Diamond walikutana Hongkong na kwamba tayari Maddam amesharejea nchini, Labda show hiyo ni muendelezo wa Temptationambayo location yake kuwa inaonekana kuwa Nje ya Nchi.
Cheki picha za show hiyo:-
clip_image002[19]
clip_image002[4] 
 
clip_image002[25]
clip_image002[6]
clip_image002[8]
clip_image002[10]



Read More »

Top 5 ya mashabiki waliotokelezea baada ya kupiga picha katika Mapozi ya Diamond

 Kama unafatilia habari za mastaa wa Marekani utafahamu kuwa hii issue alishawahi kufanya rapper Nicki Minaj wa Young Money, Aliomba mashabiki watume picha wakiwa wamevalia mavazi kama yake na pozi zaki Nicki Minaj, Well Bongo Super Star Diamond amefanya yake kwenye instagram.
Picha zaidi ziko hapa.
 


 Kama unafatilia habari za mastaa wa Marekani utafahamu kuwa hii issue alishawahi kufanya rapper Nicki Minaj wa Young Money, Aliomba mashabiki watume picha wakiwa wamevalia mavazi kama yake na pozi zaki Nicki Minaj, Well Bongo Super Star Diamond amefanya yake kwenye instagram.
Picha zaidi ziko hapa.
 





Read More »

Chris Brown Aamua Kustaafu Kuimba, Ni kutokana na Kuandamwa na Maskendo na Mabalaa


Mwanamuzi wa RnB wa Marekani, Chris Brown huenda akastaafu rasmi kuimba kutokana na kuchoshwa na kuandamwa na skendo na mabalaa. Msanii huyo amesema hayo kupitia Twitter na Akaachia Hizo Tweets Mbili.


Read More »

50 Cent Kwenda Jela Miaka 5 kwa Kosa la Kumshambulia Mpenzi wake na Uharibifu wa Mali.


Rapper na Muigizaji 50 Cent Amekana Mashtaka yanayomkabali ya Kumjeruhi na Kuvunja mali za aliyekuwa Mpenzi wake Dapne Narvaez. 50 Cent ambaye Jina Lake Kamili ni Curtis Jackson Alisimamishwa Kizimbani katika mahakama ya Van Nuys, California Jumatatu Asubuhi.

Ikiwa mahakama itampata na hatia kwa makosa hayo, Mwimbaji huyo wa In Da Club atatakiwa kutumikia Kifungo cha Miaka Mitano Jela na Kulipa Faini ya Dola za Kimarekani 46,000.


I'm innocent: 50 Cent plead not guilty to a domestic violence charge during an arraignment at a Van Nuys Courthouse in Los Angeles on Monday
50 Akiwa Mahakamani Jana Asubuhi.

Kutokana na Mwenendo wa Kesi za Mashambulio kama hiyo, 50 Cent anatakiwa Asimkaribie Anaye Mshtaki kwa Futi 100, wala kuwasiliana nae au familia yake kwa kipindi chote ambacho kesi itakuwa Ikiunguruma. Mbali na hayo Curtis ameambiwa asalimishe Bastola yake na Silaha nyingine anazomiliki ndani ya Masaa 24.

Daphne anamshtaki 50 Cent kwa kumvamia nyumbani kwake, kumpiga na kusababisha uharibifu wa mali zenye thamani ya Dola za Kimarekani 7,000.


Read More »

Uhusiano wa Justin Bieber na Selena Gomez ni Kitandani tu!!


Hay yamedhihirishwa na Bibie Gomez baada ya kubwana na maswali ya waandishi wa habari waliokuwa wakimuhoji vipi anaweza kumwacha Justine Bieber Anatoka kwenda Night Clubs Peke yake na Kutombana kama wapenzi wengine wafanyavyo? Alijibu:-

“I’ve known him for a really long time and we enjoy each other’s company every now and then,” said Gomez. “But I’m definitely single and enjoying being that.”
“Enjoy each other’s company every now and then,” 

Akaulizwa Tena?

 Why don’t you just admit to your fans that you and the Biebs are bed buddies! See ya later" Selena.

Read More »

Bow Wow Avunja Ukimya, Amla "DENDA" Tyra Banks Live Katika TV Show Interview.



Ikiaminika na Wengi wa Raia kutoka Marekani kuhusu kutamani na jinsi ambavyo wengi wa wanaume wanatamani wapate nafasi ya kuwakumbatia na hasa Kuwabusu Walimbwende Kama Tyra Banks, Juz Mwanamuzi Bow Wow aliukata Mzizi wa Fitina kwa Upande wake kwani ali Wish Kumbusu Super Model huyo na akapewa nafasi hiyo akiwa kama Mgeni mualikwa wakati Tyra Akirusha Kipindi cha BET's 106 & Park Music Video Show.

Bow Wow akamkamata kisawasawa Model huyo na kuanza kujimwaya mwaya nae Huku Kipindi kikiwa kinarushwa Moja kwa Moja Hewani.


Read More »

Kutana na Tilya, Mrembo wa Kitanzania Mpenzi wa Msanii wa Kundi La Bracket.





Tilya ni Msichana mwenye Asili ya Kitanzania, Mkazi wa Minneapolis, Minnesota Kikazi ni Mkurugenzi mtendaji wa Kampuni yao na Pia ni Blogger.

Mwanadada huyu yupo katika uhusiano wa kimapenzi na Nwachukwu Ozioko, Maarufu kama Vast, Mmoja wa wasanii wanaounda kundi la Bracket, wazee wa "Yori Yori" So Shemejiii wetu huyu ni kama Alimdediketia dadaetu cjui kale ka wimbo kazuri cha Yori Yori?!!!



Read More »

Kanye West Amtandika Makonde Mwandishi wa Habari, Afunguliwa Mashtaka.


Mzazi mwenzie Kim Kardashian, Rapper Kanye West amejikuta katika matatizo tena baada ya kushambulia na kumuumiza mwandishi wa habari ambaye alikuwa anamzonga na maswali alipokuwa katika uwanja wa Ndege wa LA Marekani.

 kutokana na maumivu aliyoyapata Mwandishi wa Habari huyo pamoja na udhalilishwaji aliokumbana nao tayari ameshamfungulia mashataka Rapper Huyo

Read More »

Angalia Jude Okoye alivyotandaza Dola akijiandaa kununua gari online

Kama anavyoonekana pichani, kaka mkubwa wa kundi la P squire akizimwaga zaidi ya dola za kimarekani 10,000 huku akiperuzi katika laptop gari gani jipya anunue. Mambo ya fedha hayo.

Read More »

Agongwa na Treni sababu ya Kuweka Head Phones Masikioni.













Jamaa mmoja amekubwa na mkasa wa aina yake pale alipogongwa na treni ambayo ilikuwa na kazi kubwa ya kumpggia honi ili atoke pembezoni mwa reli alipokuwa akitembea. Walioshuhudia tukio hilo wamesema treni hiyo ilipiga honi lakini jamaa alikuwa ameweka Head phones masikioni. Baada ya kupatiwa huduma ya kwanza, alipekwa hospitalini kwani yawezekana ameumia kwa ndani.

Read More »

Cheki Picha za Show ya Diamond Pale Mwanza, the Rock City

-->

 

Hizo ni Shangwe za Mini Kabaaang!! ya Tigo ndani ya Mwanza.



Silaha hatari kama kawaida yao wakianza taratibu.....Mpera Mpera tu
hadi kieleweke''



Haya sasa ni mwendo wa nyoka nyoka tu.......
wataelewa sasa hivi au wataelewa baadae...?






Rama Mpauka akimseti roboti wake 
ikafika time ya the prezident kuingia........
Nikistaajabishwa na shangwe na umati wa watu waliokuwa
wamefurika uwanjani pale pale tu nilipotokea uwanjani





....hapo sasa yanii....afe kipa afe beki lakini ushindi lazima....





Kaskazini mwa uwanja wa ccm kirumba umati
 wa watu waliofurika wakishuhudia
 amsha amsha ya wasafi








nimpende nani sasaaa...........???


Aya sasa....Nilikuwaga na nani zamani.....???? Alafu akafanyaje.....??
Leo nataka mtoto wa mwanza kunitibu maradhi nayougua



hakika nilikumbuka kigoma............







siwasikii..etiii??

Read More »

Join Swahili One Community, "Like" and you will be one of us forever

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
Copyright © 2013. swahili one Blog - All Rights Reserved
Customized by: Grace Tommy The One | Powered by: BS
Designed by: Creative Blogger