Showing posts with label Ufuska. Show all posts

ANGALIA PICHA 5 ZA WANAFUNZI WA HOSTELI WAKIJIACHIA BAADA YA KUWA MBALI NA WAZAZI WAO



Wazazi, ni vyema kwenu kujijengea mazoea na utaratibu wa kuwa karibu na watoto wenu hasa linapokuja suala la mahusiano yao na marafiki.

Inawezekana kabisa kuharibikwa kwa mwanao kukatokana na aina ya watu anaokuwa nao karibu, kitu ambacho naamini kama mzazi usingependa kitokee kwa mwanao.
 
Utajisikiaje ukikuta aina hii ya picha ya ndugu yako....?



Read More »

BINTI WA MIAKA 17 ANASWA AKIJIUZA KATIKA GESTI BUBU


KIKOSI kazi cha Oparesheni Fichua Maovu ‘OFM’ Kanda ya Ziwa, kinaendelea kufukua uchafu unaofanyika jijini hapa, safari hii kimemnasa binti mwenye umri chini ya miaka 18 akifanya ukahaba wikiendi iliyopita bila wasiwasi wowote.
Anitha baada ya kunasa katika mtego wa OFM.
OFM Kanda ya Ziwa, kikiwa ni kitengo kipya kilichoteuliwa rasmi kushughulikia kadhia za mikoa yote inayozunguka Ziwa Victoria kilinasa tukio hili laivu na kulifuatilia kwa kina ili kutoa ukweli kamili kwa jamii.
HABARI KAMILI
Timu yetu ilishuhudia binti huyo akiwa amechanganyikana na mabinti wengine wakubwa wakijiuza kwa wateja wa baa mbalimbali katika eneo la Mabatini jijini hapa huku wakitumia gesti bubu iliyopo maeneo hayo.
Kwa siku tatu mfululizo, mapapazari wetu walimfuatilia na kujionea namna binti huyo mdogo akichukuliwa na mababa watu wazima na kwenda kula nao uroda kwa nyakati tofauti.
Anitha akivaa nguo zake baada ya kunaswa akifanya ukahaba.
AINGIA MTEGONI
Ili kupata ushahidi wa tukio hilo, makamanda wetu waliingia mzigoni na mmoja wao akajifanya mteja ambapo alimtokea binti hiyo ambaye alikubali kwenda kulala naye  kwa dau la shilingi 5,000.
Binti huyo aliyejitambulisha kwa jina la Anitha aliongozana na kamanda wetu hadi ndani ya gesti bubu inayotumika kwa uchafu huo bila kujua kwamba alikuwa ameingia ‘choo cha kiume’.
Anitha akiohojiwa baada ya kunaswa akiwa kazini.
OFM KAZINI
OFM wakiwa na wadau wengine waliokubali kushiriki katika zoezi hilo ambalo ni aibu kwa uongozi wa jiji hili na serikali kwa jumla, walikuwa tayaritayari jirani na gesti  hiyo wakisubiri maelekezo kutoka kwa kamanda aliyeingia na changudoa huyo mtoto.
Vifaa vya mawasiliano vya OFM vilifanya kazi yake vyema ambapo kamanda aliyekuwa chumbani alitoa maelekezo kwa wenzake kuwa changudoa yule, alikuwa amesaula ndipo wakaingia na kufotoa picha za kutosha.
MSIKIE MWENYEWE
Alipogundua kuwa kumbe ulikuwa mtego wa kumnasa aliomba asamehewe kwa madai kwamba alilazimika kufanya vile kwa lengo la kujitafutia maisha kwa vile kwao hali ni mbaya.
Anitha akiwa mikononi mwa wanausalama.
“Jamani mimi ni mdogo, nina miaka 17, sina baba wala mama na hali ya maisha ni ngumu ndiyo maana niliamua kuingia kwenye biashara hii,” alisema Anitha.
Hata hivyo, uchunguzi wa Risasi Mchanganyiko, umeonyesha kuwa, Anitha ni muongo kwani ametoroka nyumbani kwao Mahina, Nyakato ambako alikuwa akiishi na wazazi wake na kukatisha masomo yake akiwa kidato cha pili.
Chumba alipokutwa Anitha kitandani pakiwa na kinga.



WAZAZI SOMENI HAPA
OFM inatoa wito kwa wazazi kuwa makini na malezi ya watoto wao kwa kuwafuatilia mara kwa mara ili wasiharibike na kuiga tabia kama ya Anitha. Aidha, wazazi wa Anitha wanapaswa kuchukua hatua za makusudi kumwondoa binti yao katika biashara hiyo mbaya inayohatarisha usalama wa afya yake.

Read More »

MUIGIZAJI NYOTA WA TAMTHILIYA YA SHAMELESS, EMMY ROSSUM AJIACHIA MTUPU KATIKA JARIDA LA ESQUIRE





Huyu ni nyota wa tamthilia inayotamba kwa sasa iitwayo Shameless, anaitwa Emmy Rossum, hakika hakuwa akijali chochote zaidi ya kuondoa aibu wakati wa kupiga picha hizi ambazo ni maalum kwa ajili ya jarida la Marekani liitwalo Esquire.
Add caption

Bila wasi wala shaka, muigizaji huyu wa kike mwenye umri wa miaka 27 alipiga picha hizi za toleo la mwezi January 2014 la jarida hilo lenye kuhusu mitindo ya maisha.
 

Angalia picha zaidi hapo chini..




Read More »

MASHABIKI WAMDISS MSANII HUYU KWA KUONGEZA UKUBWA WA MAKALIO NA MAT1TI



Mwanadada Daniella Okeke amekuwa akishutumiwa sana na baadhi ya mashabiki wake kutokana na mabadiliko ya ghafla ya sehemu ya Mgongo wake, msanii huyo ambaye amepata INYE kubwa ya ghafla na Chakula cha mtoto kuongezeka maradufu inasemekana ametumia mambo ya mchina ili kujiboost sehemu zake hizo.

Muangilie katika picha ya chini jinsi alivyokuwa awali na picha ya juu ndio jinsi alivyo sasa. Unamuonaje?



Read More »

JIMAMA LAFANYA BIASHARA YA UKAHABA MCHANA KWEUPEE, SIGARA MDOMONI, POMBE MKONONI NA KIVAZI CHA UTUPU.



Mtu mzima huyo anakata mitaa akiwa na Fegi mdomoni na Kiroba mkononi
Wadau katika pitapita mitaani nilikutana na mama mtu mzima akifanya uchangudoa mitaani mchana kweupee bila hata ya kuwa na aibu!




 
 Kikielekea dukani kuongeza kiroba na sigara







Baada ya kuambiwa lile ni duka la vifaa akaamua kununua kwenye kioksi na hapa anaomba moto





Alipoona watu wanamjalia akaamua ajikate huku akitingisha vikalio vyake!

Read More »

TIMU YA RUGBY YA WANAWAKE YAAMUA KUKAA "UTUPU" ILI KUKUSANYA FEDHA ZA HISANI




Timu ya wanawake ya Chuo cha Oxford inaonekana imeamua kushika vichwa vya watu na habari kwa ujumla mara baada ya kuamua kuja na kalenda yao ya kujitolea ya mwaka 2014.


Picha hizo za rangi nyeusi na nyeupe (black-and-white) zilipigwa kwenye jiji la Idyllic na zimetumika kwenye kalenda ambazo zimekuwa zikiuzwa kwa £10, pesaambazo zitatumika katika kuchangia kampeni ya Oxford juu ya tahadhali dhidi ya ufahamu wa afya.

Wachezaji wa timu hiyo waliamua kuja na mpango huo mara baada ya timu ya wanaume kutoka na toleo lao mwaka jana, kisha wao wakaelezwa: “Kama ingekuwa ni ninyi kwenye picha basi tungenunua moja.”

DC BLOG

Read More »

VIDEO: MSICHANA APAGAWA NA KUCHEZA AKIWA MTUPU, AMWAGA RADHI HASWAA!!




Huyo ni Binti kutoka pande za Igbo, Nigeria ambaye inasemekana alilewa tilalila na kuanza kucheza nyimbo hiyo ya Wizkid kihasara hasara sana, mcheki hapa.

<<<<BONYEZA HAPA>>>>> Kuipata Video

Read More »

VIDEO YA NG0N0 YAMPONZA BI HARUSI MTARAJIWA SIKU 3 KABLA YA NDOA YAKE.




Kwa jina anaitwa Bose Aknmu, ambaye hivi karibuni alikuwa aolewe, alibakisha siku 3 kabala ya ndoa na ndipo Video yake chafu aliyorekodiwa mwaka 2007 ilipowekwa mitandaoni tukio lililomkasirisha mume mtarajiwa kiasi cha kuipiga stop ndoa hiyo.

Vido kwa wakubwa Tu, Weka mbali na watoto
Her name is Bose Akanmu and the life she lived has brought her the greatest shame of her life. I used to tell girls that their mess has a way of coming back to hurt them. Now it has happened! See the video below...



Read More »

"NIMECHOKA KUBAKWA NA BABA" MTOTO WA MIAKA 8.



AMA kweli dunia sasa inaserereka! Katika hali ya kusikitisha, baba mzazi mwenye familia ya watoto watatu, mkazi wa Kambi ya Fisi jijini hapa, anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kumbaka binti yake wa kumzaa hadi mtoto akafungua kinywa na kusema: “Nimechoka kubakwa na baba.”
Tukio hilo lililobumburuka hivi karibuni limewaacha watu vinywa wazi kwa sababu mtoto huyo ana umri wa miaka minane na kwamba alianza kufanyiwa ukatili huo mwaka jana akiwa na umri wa miaka saba alipokuwa darasa la pili katika shule moja ya msingi jijini hapa (jina tunalo).

AFUMWA LAIVU!
Inadaiwa kwamba mtuhumiwa huyo aliyetajwa kwa jina moja la Pelejai (34) ambaye ni mfanyabiashara wa mkaa, amemwingilia mwanaye huyo kwa mwaka mmoja.
Taarifa zinasema, mwaka jana baba huyo aliwahi kufumwa laivu na mkewe akimtendea ubaya huo binti yake huyo.
Hata hivyo, inasemekana kuwa baada ya kunaswa chumbani kwake na mtoto, alimuomba msamaha mkewe ambaye alimsamehe kwa sharti la kutorudia tena kufanya tendo hilo la aibu na jambo hilo likawa siri kati yao.
Akizungumza kwa uchungu na gazeti hili akiwa katika Hospitali ya Mkoa ya Mount Meru anakopatiwa matibabu, mtoto huyo alisema chanzo cha baba yake kumbaka ni baada ya mzazi huyo kugombana na mama yake ambaye aliondoka nyumbani na kwenda kwao.
                                     Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Sophia Simba.
MARA YA KWANZA
Alisema mara ya kwanza kuingiliwa na baba yake alisikia maumivu makali mno huku akitokwa na damu nyingi.
Alieleza kuwa alijaribu kulia na kupiga kelele usiku huo lakini baba yake alimziba mdomo ili asitoe sauti.
Alisema alipomaliza kumfanyia ‘unyambilisi’ huo alimtishia kuwa endapo atasema popote, yeye atakamatwa na kufungwa na wao watabaki bila baba, hivyo watateseka kwa njaa.
Baada ya muda mtoto huyo alieleza kwamba baba yake huyo aliendelea kumwingilia mara kwa mara wakati kaka yake mkubwa wanayeishi naye akishindwa kusema baada ya kupewa fedha na baba yake.

MY GOD! KITANDA KIMOJA!
Alisimulia zaidi mtoto huyo alisema kwamba alikuwa akilala na baba yake kitanda kimoja kila siku kama mke na mume katika kipindi ambacho mama yake alipokwenda kijijini kwao Nduruma wilayani Arumeru kujifungua na kukaa kwa zaidi ya miezi mitatu.
“Ukweli nilichoka kubakwa na baba yangu lakini chanzo cha yote ni mama kutokuwepo nyumbani,” alisema mwanafunzi huyo.
Kwa upande wake, mama mzazi wa mtoto huyo alisema kuwa aligundua tukio la kubakwa kwa mwanaye tangu Machi mwaka huu na baada ya tukio hilo mumewe alimwomba tena msamaha kwa mara nyingine  na yeye kumsamehe.
Mama huyo alisema kwamba alilazimika kwenda nyumbani kwao baada ya ujauzito aliokuwa nao kuwa mkubwa.
Alisema baada ya kujifungua aliendelea kuishi huko hadi Novemba 28, mwaka huu alipolazimika kurejea na kichanga chake baada ya kupata taarifa za kupotea kwa mtoto wake huyo anayedaiwa kubakwa na baba yake.
Alisema aliporejea nyumbani kwake Kambi ya Fisi alimuuliza mtoto wake mkubwa iwapo baba yake alirudia tabia ya kumbaka mwanaye lakini mtoto huyo hakusema chochote.
Akiwa anatafakari sehemu alipokuwa mwanaye ndipo alipopata taarifa kwamba alikuwa kituo cha polisi alikopelekwa na walimu wake baada ya watoto wenzake kutoa taarifa kwa walimu kuwa mwanafunzi mwenzao amekuwa akibakwa na baba yake mzazi.

SHULENI
Mmoja wa walimu katika shule hiyo alithibitisha kubakwa kwa mwanafunzi huyo baada ya kumhoji na kumkagua na kugundua kwamba ameharibika sehemu nyeti na kuwa kama za mtu mzima.
                                                                                   IGP - Said Mwema.
HOSPITALINI
Mama wa mtoto huyo akisaidiwa na walimu walitoa taarifa kituo cha polisi na kupatiwa hati ya matibabu (PF-3) na kumpeleka Hospitali ya Mount Meru.
Mwalimu wa shule hiyo alisema baada ya vipimo, daktari alithibitsha kwamba mtoto huyo alibakwa na kuharibiwa sehemu zake za siri.



Baada ya taarifa hizo kulifikia jeshi la polisi, vijana wa Inspekta Said Mwema walimtia mbaroni mtuhumiwa huyo na kumfungulia kesi ya ubakaji kwa hati ya mashtaka AR/RB/16064/2013-

UBAKAJI
Uchunguzi wa tukio hilo ukikamilika, mtuhumiwa atafikishwa mahakamani ili sheria ichukue mkondo wake.

INAUMA SANA!
Hivi karibuni kumeibuka vitendo vingi vya ubakaji na unyanyasaji kwa watoto, hivyo Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Sophia Simba na taasisi nyingine za utetezi wanaombwa kuingilia kati ili kuwanusuru watoto na ukatili huo

GPL

Read More »

MAHEEDA KARUDI TENA


Hata baada ya kufungiwa akaunti yake ya mwanzo na Instagram kwa kuzidish kutupia Pics zisizo na adabu, aliyekuwa muimbaji wa nyimbo za injili, Maheeda amerudi tena na kuwatupia fans na haters wake pics mpya kupitia akaunti yake mpya ya instagram.

Add caption

Read More »

BINTI AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MWEZI MMOJA JELA AU KULIPA FAINI YA LAKI NA NUSU KWA KUKUBALI KOSA LA UKAHABA



MSICHANA Dorika Kanomba (18) amehukumiwa kifungo cha mwezi mmoja jela au kulipa faini ya Sh 150,000 baada ya kukiri kosa la kukutwa akifanya biashara haramu ya kuuza mwili. Washitakiwa wengine tisa waliofikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Sokoine Drive kwa kosa hilo, wamerejeshwa mahabusu baada ya kukana mashitaka yanayowakabili.

Akitoa hukumu jana, Hakimu wa mahakama hiyo, Said Mkasiwa alisema Dorika atatumikia kifungo cha mwezi mmoja jela au kulipa faini hiyo baada ya kukiri makosa.

Mwendesha Mashitaka wa Serikali, Richard Magodi aliwataja washitakiwa wengine waliofikishwa mahakamani hapo wakikabiliwa na kosa hilo kuwa ni Veronika Benjamini (17), Nasra Ismail (18), Mary Gerard (16), Milka Braun (17), Fatuma Ally (22), Alice Samweli (17), Farida Hemed (20), Anitha James (18) na Martha Mange (20).

Magodi alidai kuwa Novemba 29, mwaka huu eneo la Manzese wilayani Kinondoni, washitakiwa hao walikutwa wakifanya biashara haramu ya kuuza miili, maarufu kama ukahaba, kinyume cha maadili.

Washitakiwa tisa walikana mashitaka hayo ambapo Dorika alikiri na kuhukumiwa kifungo cha mwezi mmoja au kulipa faini.

Mahakama ilitoa nafasi ya dhamana kwa washitakiwa kwa masharti ya kulipa Sh 160,000 kwa kila mmoja, lakini hawakutimiza masharti hayo. Kesi hiyo itatajwa tena Desemba 10, mwaka huu.
Wakati huo huo, wanawake wawili Zainabu John (28) na Hamida Masoud (43), wamehukumiwa kifungo cha siku 21 jela au kulipa faini ya Sh 120,000 baada ya kukutwa wakiuza bidhaa maeneo yasiyohusika kinyume cha sheria.

Akitoa hukumu hiyo jana, Hakimu Said Mkasiwa alisema akina mama hao watatumikia kifungo cha siku 21 jela au kulipa faini ya Sh 120,000 baada ya kukiri kufanya biashara hizo kinyume cha sheria.


Mwendesha Mashitaka wa Serikali, Richard Magodi alidai kuwa Novemba 29, mwaka huu katika eneo la Vingunguti, washitakiwa hao walikutwa wakiuza bidhaa katika maeneo yasiyoruhusiwa kinyume cha sheria.

-Habari leo



Read More »

ANGALIA MWANADADA IRINE ESPERIOUS AKIJIACHIA KIUTUPU HAPA



Picha ya mwanzo akiwa kavaa vazi la heshima lakin huko chini ni balaa tupu.

 

Irene Esperius hapa akiwa katika Vazi la heshima. Alianza hivi kama masiara.. Picha ya kwanza   Hatua iliyofuatia ni hii kwa picha ya pili.



KILA kukicha tunalaumiwa sisi Bloggers eti tunawadhalilisha akinadada hoo angekuwa dadaako ungepost?.. Yani maswali kibao wakati hawa wadada wenyewe ndio wanapost sisi tunaziweka kama kukemea jamani wasomaji wetu wa ukweli msitulaumu sisi hatuna makosa. Kwa mfano kama dada huyu kazipost picha hizi za utupu mwenyewe kwenye Profile yake ya Facebook na akawatag watu kibao.

PICHA hii ya ya tatu ni funga kazi imebidi tuifiche...!


 Onyo! Ni marufuku kwa mtu yeyote mwenye umri wa chini ya miaka (18+) kutazama.

 <<<BOFYA HAPA KUANGALIA PICHA YA UTUPU ALIYOTUMA FB>>> 

Read More »

Duh!! Mimba ya Anti Lulu ina Miezi mitano sasa, Je wamjua Baba Mhusika?!!!



MSANII wa filamu, Lulu Semagongo ‘Anti Lulu’ baada ya kurukaruka sana, sasa inadaiwa ni mjamzito wa takribani miezi mitano.

Akilinyetishia Ijumaa juu ya ishu hiyo, rafiki wa karibu wa Anti Lulu aliyeomba hifadhi ya jina lake alisema, msanii huyo sasa amekuwa mtumiaji mzuri wa maembe mabichi huku magauni mapana yakiwa ndiyo mavazi yake.

“Mwanzo alikuwa anaficha lakini sasa siyo siri na mwenyewe ameona ni bora kuwataarifu ndugu na marafiki zake,” alisema mtoa habari huyo.

Katika kujua undani wa hilo, waandishi wetu walimsaka Anti Lulu na kufanikiwa kumuona akiwa na kitumbo chake lakini akaomba asipigwe picha ila akasema: “Mmechelewa kujua, mbona inakwenda mwezi wa tano sasa, mwenye mzigo mtamjua nikishajifungua jamani,”alisema msanii huyo.

Read More »

Ajiachia Mtupu Mtandaoni ili akamate Mabwana




Kila kukicha mambo yanazidi kwenda vibaya, bila kujali maadili yetu na jamii inayotuzunguka, baya zaidi ni kwamba baadhi yetu tumekuwa tukiangalia na kufurahia matendo haya.

Msichana huyu ni wa kutoka Bayelsa ambaye inasemekea kuwa ni fundi sana wa mitindo huru, kwa sasa wateja wake wameenza kupungua hivyo akaona njia bora ni kuutangaza mwili wake kupitia kwenye mitandao.

Angalia picha yake chini...

Add caption

Read More »

Sheria ya Kuwatoza Faini Wateja wa Makahaba Yapitishwa, Ole wako ukamatwe


Mnamo siku ya Jumatano watunga sheria nchini Ufaransa walipitisha muswada ambao utawafanya wateja wa makahaba kutozwa faini kuanzia kiasi cha €1 500.

Sheria ya kupinga ukahaba ilipitishwa na mkutano mkuu ambapo Manaibu 268 wakipiga kura ya kukubali, 138 walipinga na 79 hawakupiga.

Sheria hiyo ambayo kwa sasa inahitaji kukubaliwa na Bunge la nchi hiyo, imekuja mara baada ya kupitishwa nchini Sweden ambapo kwa sasa inatumika ambapo wateja wa makahaba hutozwa faini kwenye nchi hiyo katika kile kinachoonekana kutaka kuitokomeza taaluma hiyo kongwe.

Read More »

Miaka 10 Jela kwa Kumla "URODA" Mbuzi, Mbuzi naye aja mahakamani kama shahidi.


Jamaa mmoja mwenye umri wa miaka 28 amehukumiwa kwenda jela miaka kumi mara baada ya kukutwa na hatia ya kufanya tendo la ngono na mbuzi.

Katana Kitsao Gona toka Malindi nchini Kenya wiki iliyopita alikiri kufanya ngono na mnyama. 


Shuka chini kuangalia Video hiyo..... Mbuzi huyo wa kike kwa utulivu alikuwa pembeni ya chumba cha mahakama wakati hukumu hiyo ilipokuwa inatolewa. Jamaa huyo alikamwatwa mnamo tarehe 25 Novemba mara baada ya mkazi mmoja wa eneo hilo kumbamba akiwa uchi wa mnyama akimla uroda mbuzi huyo ambaye alikuwa amefungwa kamba, hii ni kwa mujibu wa The Star.



Mmiliki wa mbuzi huyo alifahamishwa na kufika eneo la tukio akiwa na majirani wengine ambao pia walimshuhudia Gona akiwa anafanya ngono na mnyama.

Jamaa alikamatwa na polisi na vipimo vya hospitali vinakaonyesha kweli kwamba tukio la ngono lilifanyika.



Gona aliomba msamaha kwa mahakama kwa kujitetea kuwa mke wake ni mlemavu na anamtegemea yeye ila mahakama ikajibu kuwa kosa hilo ni kubwa na akapewa siku 14 za kukata rufaa.

Read More »

Ndoa ya Msanii huyu bado inadunda pamoja na kuvuja kwa picha zake chafu.




Msanii Uche Iwuji kutoka Nollywood ametamba ya kwamba ndoa yake bado ipo imara regardless juhudi za wanaomponda na waliomchafua kwa mumewe kupitia picha zake za utata za zamani. Bado ndoa yao inadunda.

Mume wa Uche alipohojiwa kuhusiana na kuvunjika kwa ndoa yake alicheka na kusema kwa kuwa yupo busy na majukumu ya kikazi kwa sasa atatafuta muda wa kuongea na waandishi ili awazodoe hao wambea na wazushi.

.

Read More »

Mwanaume Awagonganisha wanawake Airport saa 6 Usiku


MWANAUME mmoja aliyeelezwa kuwa ni tajiri mwenye nazo mjini, amezua tafrani na kusababisha timbwili la nguvu kwa dakika kadhaa baada ya kugonganisha wanawake wawili waliodaiwa kuwa chini ya miliki yake kwa wakati mmoja, subiri hapohapo tukujuze!

Mtiti huo uliovuta hisia za wengi ulichukua nafasi Ijumaa iliyopita, mishale ya saa sita na dakika zake usiku, pande za Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere ‘JNIA’ ambapo mwanaume huyo ambaye jina lake halikupatikana mara moja alitua na Ndege ya Shirika la Kenya.

ANGALIA SINEMA
Hali ya hewa ilikuwa ya kuridhisha kabisa katika eneo la uwanja wa ndege wakati paparazi wetu akiwa kwenye sehemu maalum ya kusubiria abiria wanaotua uwanjani hapo wakitokea nje ya nchi.
Paparazi wetu alikuwa akimsubiri mgeni wake lakini kama ilivyo kawaida ya wanakikosi cha Oparesheni Fichua Maovu ‘OFM’ alikuwa na zana zake za kazi kama kawaida.

Wakati wageni wakianza kutoka, ghafla zilisikika kelele pembeni mwa sehemu aliyokuwa paparazi wetu, akajiuliza kunani? Akaweka zana zake za kazi sawa kisha akajongea eneo la tukio.

VARANGATI LA NGUVU
Kamera za Risasi Mchanganyiko zilishuhudia wanawake wawili wakikunjana na kupigana makonde huku mmoja akimshutumu mwenzake kumwibia mumewe (haikujulikana kama ni wa ndoa). Alisema: “Wewe mpumbavu mwizi wa waume za watu, nitakukomesha leo. Si umezoea kuiba waume za watu? Sasa utanijua mimi ni nani?”

Mwanamke huyo aliyeonekana kuwa na jazba, alikuwa na watoto wake wawili waliovalia sare za shule ambao walikuwa wakimvuta na kumsihi aachane na ugomvi.

MSHANGAO NI HUU!
Sekeseke wakati likiendelea, yule mwanamke ambaye alikuwa akidai kuibiwa mumewe kwa muda mrefu na mwanamke huyo, watoto wake wawili walikuwa naye sambamba huku wakijaribu kumtuliza ingawa kiumri ni wadogo.
Mwanamke aliyedaiwa kuchukua mume wa mwenzake naye alikuwa na mtoto wake mmoja ambaye alikuwa akimvuta akitaka kumtoa mikononi mwa mwanamke aliyedaiwa kuwa mmiliki rasmi wa tajiri huyo.

Mshangao mkubwa ni kitendo cha watoto hao wote kuwa wamevaa sare za shule, tena zikionekana kuwa za shule moja – maswali yalikuwa mengi kuliko majibu!
“Hawa watoto sijui wamekuja na huyu jamaa? Maana wanaonekana kama wanasoma shule moja na wapo na vifaa vyao vyote vya shule. Hapa hata haileweki jamani,” alisikika dereva teksi mmoja aliyekuwepo eneo la tukio.

MAELEZO MENGINE
Mashuhuda walisema, awali tajiri yule wakati anatoka katika sehemu maalum ya abiria wanaoingia nchini, alikimbiliwa na mwanamke yule anayedaiwa kuwa kimada na kumpokea kisha kumbusu na kumpa pole kwa safari.

“Tatizo lilianzia pale yule mwanamke mwembamba mwenye nguo nyekundu alipoenda kumpokea jamaa. Alimfuata na kumkumbatia kisha akambusu, basi hapo tafrani ikatokea. Yule mke wa jamaa alikwenda haraka na kumvamia kisha kuanza kumpiga,” alisikika mmoja wa mashuhuda hao.

TAJIRI AWAZODOA WALIOMSHANGAA!
Wakati tafrani ile ikiendelea, mwanaume huyo aliwaingilia kati na kuwaamulia, jambo lililozidisha watazamaji wa sinema hiyo ya bure kushangaa.

Katika hali ya kushangaza, tajiri huyo aliwananga watu waliokuwa wakimshangaa akisema: “Sasa kipi cha ajabu? Ni mwanaume gani hapa ambaye hajawahi kufumaniwa? Haya ni mambo ya kawaida, endeleeni na shughuli zenu nitamaliza hii ishu mwenyewe.”

Juhudi za tajiri huyo kuwaachanisha zilizaa matunda, kwani zaidi ya kutumia nguvu, alionesha ‘uanaume’ wake kwa wanawake hao ambao walikubali kuachana na ugomvi huo ingawa kila mmoja alionekana kuwa na hasira na mwenzake.

Baadaye yule mwanamke aliyedaiwa kuwa ndiye mke halali wa tajiri yule, aliondoka naye wakiwa na watoto wao wawili, mwingine akaondoka na mtoto wake.



Read More »

Join Swahili One Community, "Like" and you will be one of us forever

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
Copyright © 2013. swahili one Blog - All Rights Reserved
Customized by: Grace Tommy The One | Powered by: BS
Designed by: Creative Blogger